
Habari zilizotufikia zinasema kwamba mheshimiwa Chenge aswekwa lupango baada ya kusababisha ajari ya wadada wawili waliokuwa ndani ya bajaji.Inasemekana mheshimiwa huyu alikuwa anaendesha gari huku amelewa.Ama kweli chenge matatizo yamemuandama.....
Pata Burudani,Habari,pamoja na Matukio Mbalimbali
No comments:
Post a Comment