Monday, 6 July 2009
BREAKING NEWS!!!
Habari zilizonifikia muda si mrefu zinasema kwamba raisi wa wanafunzi chuo kikuu Tumaini Iringa anafukuzwa chuo kutokana na pingamizi aliloweka baada ya kupanda kwa ada chuoni hapo.Chuo hicho kimeongeza ada kwa njia ya ujanja ujanja ambapo ongezeko hilo linatufanya wanafunzi tuushangae uongozi wa chuo.Baadhi ya mambo ambayo yanamfanya mzima yeyote na tena ambaye yuko timamu abaki mdomo wazi.Kwanza ongezeko limetangazwa wakati wanafunzi tunafanya mitihani,wakijua kwamba hatuna muda wa kuandamana na kufanya mgomo.Pili kufukuzwa kwa rais kunatokea baada ya wanafunzi kufunga chuo na kuondoka.Hii inatia mashaka sana kwa mtu mzima kama mimi.Mliopo Tumaini naomba mnithibitishie ukweli wa jambo hili.Asante kwa muda lakini badae kidogo ntaendelea kuleta habari zaidi kuhusu jambo hili.
Saturday, 27 June 2009
WIMBO WA LEO

Akon(Feat. Michael Jackson)
Wimbo: HOLD MY HAND
This life don't last forever (hold my hand)
So tell me what we're waitin' for (hold my hand)
Better off being together (hold my hand)
Than being miserable alone (hold my hand)
Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright.
Cause when it gets dark and when it gets cold
We can just hold each other till we see the sunlight
So if you just hold my hand
Baby I promise that I'll do all I can
Things will get better if you just hold my hand
Nothing can come in between us if you just hold, hold my, hold my, hold my hand.
The nights are getting darker (hold my hand)
And there's no peace inside (hold my hand)
So why make our lives harder (hold my hand)
By fighting love, tonight.
Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright.
Cause when it gets dark and when it gets cold
We can just hold each other till we see the sunlight
So if you just hold my hand
Baby I promise that I'll do all I can
Things will get better if you just hold my hand
Nothing can come in between us if you just hold my hand
Thursday, 11 June 2009
BAJETI YA TANZANIA 2009/10 YASOMWA LEO BUNGENI
Bajeti ni Tegemezi kwa 30%
Taasisi za kidini kuanza kulipa kodi
Walevi na wavuta sigara wazidi kubanwa
Wizara ya Elimu yapewa kipaumbele
Matumizi ya serikali yazidi kwa 30%
Mapato hayaridhishi
Wafugaji wasahauliwa
Zanzibar yapata 4.5% ya bajeti
Wananchi wajiuliza, Je, Kweli Itawasaidia
Ni Nini maoni ya wananchi na viongozi wengine kuhusu bajeti hii?
Tulisubiri tangu zamani,tangu tukisikia sera za maandalizi ya bajeti ya mwaka huu wa 2009/10 ambapo mambo mengi yalifanywa na serikali ili kuhakikisha kwamba bajeti inakwenda sambamba na matakwa ya Watanzania wote, wengi wao wakiwa masikini.Bajeti hii imesomwa leo ikiwa imeatanguliwa na hotuba ya Rais wa Jamhuri wa Muungano hapo jana alipokuwa akizungumza na wazee wa Dodoma pia watanzania wote katika ukumbi wa Kilimani ambapo jambo kubwa alilozungumza ni kuhusu madhara ya mtikisiko wa uchumi duniani.Kiufupi ni kwamba hotuba hiyo iliwavutia wengi.
Sasa turudi katika suala letu la siku ya leo,suala nyeti ambapo leo mida ya saa kumi jioni tumemshuhudia Waziri wa Uchumi Tanzania Mhe.Mustapha Haidi Mkulo akifungua mkoba na kutusomea bajeti hiyo.Tuache longolongo shuhudia mwenyewe hapo chini angalau muktasari au wazungu wanasema 'summary' ya bajeti hiyo
SEKTA -MIUNDOMBINU Sh.1.1 Bilioni Ikiwa ni ongezeko la 12%
-KILIMO Sh.667.0 Bilioni ongezeko la 30%
-MAJI/UMWAGILIAJI Sh.347.3 Bilioni ongezeko la 50%
-NISHATI/MADINI Sh.285.5 Bilioni pungufu kwa -24.6
-ELIMU Sh.1.74 Trilioni ongezeko la 22%
-AFYA Sh.963.0 Bilioni ongezeko la 5.7%
MAELEZO MENGINEYO
MAPATO YA NDANI NI SH.TRILIONI 5.1
MATUMIZI YA SERIKALI NI SH.9.5 TRILIONI-Ikiwa ni ongezeko la 30%
KUDHIBITI KUYUMBA KWA UCHUMI SH.1.7 TRILIONI
WAHISANI SH.3.8 TRILIONI
BAJETI TEGEMEZI KWA 34%
MENGINEYO 1.2 TRILIONI
MAONI YA WATU MBALIMBALI KUHUSU BAJETI HII
Profesa Ibrahim Lipumba "uwazi unahitajika katika katika ulipaji wa makampuni,tusije kupata EPA ya pili manake bajeti inaweza kupangwa halafu utekelezaji ukawa sifuri". Pia Prof.Lipumba aliongeza kwamba bajeti hii haijamzingatia mtanzania wa kawaida yaani masikini, "masikini hawafaidiki na bajeti hii badala yake mabenki ndo yatakayofaidika na bajeti hii".
Said Kubenea "Ni kweli fedha zimetengwa lakini hatuna uhakika na utekelezaji huko mawizarani,yanweza kuzaliwa 'Marichmondi'mengine huko na yakalipwa fedha hizi".
Ole Sendeka-Mbunge wa Simanjiro "inashangaza kuona kwamba bajeti imekumbuka wakulima tu,wafugaji je? Bajeti hii imewasahau kabisa wafugaji wa kawaida kama wa kule Simanjiro watafaidika nini na bajeti hii? Halafu pia inashangaza kuona hata taasisi za kidini zinatozwa kodi ya VAT,hili limetushitua wengi sana".
John Cheyo-Mbunge wa Bariadi-"suala la madini limefumbiwa macho kabisa,tuliunda tume tukatoa mapendekezo lakini hakuna hata moja lililofanyiwa kazi.Wakubwa katika migodi wameendelea kulindwa na kuogopwa na bajeti hii".
Aidha katika hali ya kushangaza taasisi za dini ambazo zimekuwa zikitoa mchango mkubwa sana katika maendeleo ya nchi eti! nazo zitaanza kutozwa kodi katika baadhi ya huduma 'isipokuwa huduma za kiroho'.Hata hivyo jambo hili limewakera wengi na kushangazwa na kauli hii katika bajeti ya mwaka huu.Wengi hawajalipokea suala hili katika mtazamo chanya na wanasubiri kuona Bunge litachukua hatua gani wakati wa kujadili na kuiptisha bajeti hii wiki ijayo.Ikiwa ni hali nyingine ya kushangaza,waziri Mkulo amesema kwamba msukumo umewekwa zaidi katika kilimo wakati bajeti inaonesha kwamba ni sh.667.0 Bilioni tu zilizoelekezwa katika wizara hiyo.
Haya sasa wewe je,mwananchi wa kawaida una maoni gani kuhusiana na bajeti hii?
Je,kweli unaona itakusaidia?
Tafadhali tupe maoni yako.
Na Frank Joram
Mwandishi wa makala hii
11/06/2009
Taasisi za kidini kuanza kulipa kodi
Walevi na wavuta sigara wazidi kubanwa
Wizara ya Elimu yapewa kipaumbele
Matumizi ya serikali yazidi kwa 30%
Mapato hayaridhishi
Wafugaji wasahauliwa
Zanzibar yapata 4.5% ya bajeti
Wananchi wajiuliza, Je, Kweli Itawasaidia
Ni Nini maoni ya wananchi na viongozi wengine kuhusu bajeti hii?
Tulisubiri tangu zamani,tangu tukisikia sera za maandalizi ya bajeti ya mwaka huu wa 2009/10 ambapo mambo mengi yalifanywa na serikali ili kuhakikisha kwamba bajeti inakwenda sambamba na matakwa ya Watanzania wote, wengi wao wakiwa masikini.Bajeti hii imesomwa leo ikiwa imeatanguliwa na hotuba ya Rais wa Jamhuri wa Muungano hapo jana alipokuwa akizungumza na wazee wa Dodoma pia watanzania wote katika ukumbi wa Kilimani ambapo jambo kubwa alilozungumza ni kuhusu madhara ya mtikisiko wa uchumi duniani.Kiufupi ni kwamba hotuba hiyo iliwavutia wengi.
Sasa turudi katika suala letu la siku ya leo,suala nyeti ambapo leo mida ya saa kumi jioni tumemshuhudia Waziri wa Uchumi Tanzania Mhe.Mustapha Haidi Mkulo akifungua mkoba na kutusomea bajeti hiyo.Tuache longolongo shuhudia mwenyewe hapo chini angalau muktasari au wazungu wanasema 'summary' ya bajeti hiyo
SEKTA -MIUNDOMBINU Sh.1.1 Bilioni Ikiwa ni ongezeko la 12%
-KILIMO Sh.667.0 Bilioni ongezeko la 30%
-MAJI/UMWAGILIAJI Sh.347.3 Bilioni ongezeko la 50%
-NISHATI/MADINI Sh.285.5 Bilioni pungufu kwa -24.6
-ELIMU Sh.1.74 Trilioni ongezeko la 22%
-AFYA Sh.963.0 Bilioni ongezeko la 5.7%
MAELEZO MENGINEYO
MAPATO YA NDANI NI SH.TRILIONI 5.1
MATUMIZI YA SERIKALI NI SH.9.5 TRILIONI-Ikiwa ni ongezeko la 30%
KUDHIBITI KUYUMBA KWA UCHUMI SH.1.7 TRILIONI
WAHISANI SH.3.8 TRILIONI
BAJETI TEGEMEZI KWA 34%
MENGINEYO 1.2 TRILIONI
MAONI YA WATU MBALIMBALI KUHUSU BAJETI HII
Profesa Ibrahim Lipumba "uwazi unahitajika katika katika ulipaji wa makampuni,tusije kupata EPA ya pili manake bajeti inaweza kupangwa halafu utekelezaji ukawa sifuri". Pia Prof.Lipumba aliongeza kwamba bajeti hii haijamzingatia mtanzania wa kawaida yaani masikini, "masikini hawafaidiki na bajeti hii badala yake mabenki ndo yatakayofaidika na bajeti hii".
Said Kubenea "Ni kweli fedha zimetengwa lakini hatuna uhakika na utekelezaji huko mawizarani,yanweza kuzaliwa 'Marichmondi'mengine huko na yakalipwa fedha hizi".
Ole Sendeka-Mbunge wa Simanjiro "inashangaza kuona kwamba bajeti imekumbuka wakulima tu,wafugaji je? Bajeti hii imewasahau kabisa wafugaji wa kawaida kama wa kule Simanjiro watafaidika nini na bajeti hii? Halafu pia inashangaza kuona hata taasisi za kidini zinatozwa kodi ya VAT,hili limetushitua wengi sana".
John Cheyo-Mbunge wa Bariadi-"suala la madini limefumbiwa macho kabisa,tuliunda tume tukatoa mapendekezo lakini hakuna hata moja lililofanyiwa kazi.Wakubwa katika migodi wameendelea kulindwa na kuogopwa na bajeti hii".
Aidha katika hali ya kushangaza taasisi za dini ambazo zimekuwa zikitoa mchango mkubwa sana katika maendeleo ya nchi eti! nazo zitaanza kutozwa kodi katika baadhi ya huduma 'isipokuwa huduma za kiroho'.Hata hivyo jambo hili limewakera wengi na kushangazwa na kauli hii katika bajeti ya mwaka huu.Wengi hawajalipokea suala hili katika mtazamo chanya na wanasubiri kuona Bunge litachukua hatua gani wakati wa kujadili na kuiptisha bajeti hii wiki ijayo.Ikiwa ni hali nyingine ya kushangaza,waziri Mkulo amesema kwamba msukumo umewekwa zaidi katika kilimo wakati bajeti inaonesha kwamba ni sh.667.0 Bilioni tu zilizoelekezwa katika wizara hiyo.
Haya sasa wewe je,mwananchi wa kawaida una maoni gani kuhusiana na bajeti hii?
Je,kweli unaona itakusaidia?
Tafadhali tupe maoni yako.
Na Frank Joram
Mwandishi wa makala hii
11/06/2009
Friday, 29 May 2009
Lil Wayne ,The Carter
Lil Wayne also known as "Weezy Baby" is one of the most talented, controversial and famous rappers of our time. His incredible lyrics, rhythmic songs and the unique musical versions that he brings to hip-hop and rap lovers are some of the things that characterize him and his awesome work. Much of the controversy which surrounds him is based upon the history that he has chosen to brand his body with, as you'll see below some people completely dislike this style and yet love his music which is directly reflected on the number of sales generated by his most recent album.
Lil Wayne's Tattoos














Lil Wayne Awards
Here you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has won since the start of his career:
Award Song/Album Category
Grammy Awards 2009 Lollipop -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 A Milli -Best Rap Solo Performance
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Best Rap Album
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Ringtone Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Collabo
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -MVP Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Lyricist Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Tha Carter III -CD Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -People's Champ
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -Track Of The Year
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Artists Choice
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
Ozone Awards 2008 ~ -Best Rap Artist
Ozone Awards 2008 ~ -Best Lyricist
BET Awards 2008 Lollipop -Viewer's Choice Award
Ozone Awards 2007 We Takin' Over -Best Video
Ozone Awards 2007 ~ -Best Lyricist
Ozone Awards 2007 ~ -Best Male Rap Artist
Ozone Awards 2007 ~ -Mixtape Monster Award
Vibe Music Awards 2007 ~ -Best Rapper
BET Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Viewer's Choice Award
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy Attel -People's Choice Award
Lil Wayne Nominations:
Below you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has been nominated for since the start of his career:
Award Song/Mixtape/Album Category
Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Album Of The Year
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 Mr. Carter -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Got Money -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Urban Artists
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Hustler Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Track Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Best Live Performer
American Music Awards 2008 ~ -Artist Of The Year
American Music Awards 2008 Tha Carter III -Favorite Hip-Hop/Rap Album
American Music Awards 2008 ~ -Favorite Male Hip-Hop/Rap Artist
Ozone Awards 2008 Duffle Bag Boy -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 Lollipop -Best Video
Ozone Awards 2008 Lollipop -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 ~ -Mixtape Monster Award
Ozone Awards 2008 ~ Trillest Award
Ozone Awards 2008 ~ Best Rap Group - Birdman
Ozone Awards 2008 ~ TJ's DJ's Hustler Award
Grammy Awards 2008 Make It Rain -Best Rap Performance By A Duo
BET Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Collaboration
Teen Choice Awards 2008 ~ -Choice Rap Artist
BET Awards 2008 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Male Video
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Lyricist of the Year
BET Awards 2007 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
Vibe Music Awards 2007 Da Drought 3 -Best Mixtape Of The Year
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Best Live Performance
Ozone Awards 2007 You -Best Rap/R&B Collaboration
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Best Hip Hop Collabo
Vibe Music Awards 2007 We Takin' Over -Coolest Collabo
MTV Video Music Awards 2006 -Fireman MTV2 Award
Grammy Awards 2006 Soldier -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Video Music Awards 2005 Soldier -Best Group Video
Vibe Music Awards 2005 Soldier -Coolest Callabo
BET Awards 2005 Soldier -Best Collaboration
Source Awards 2000 ~ -Best New Artist
Lil Wayne's Tattoos














Lil Wayne Awards
Here you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has won since the start of his career:
Award Song/Album Category
Grammy Awards 2009 Lollipop -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 A Milli -Best Rap Solo Performance
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Best Rap Album
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Ringtone Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Collabo
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -MVP Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Lyricist Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Tha Carter III -CD Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -People's Champ
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -Track Of The Year
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Artists Choice
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
Ozone Awards 2008 ~ -Best Rap Artist
Ozone Awards 2008 ~ -Best Lyricist
BET Awards 2008 Lollipop -Viewer's Choice Award
Ozone Awards 2007 We Takin' Over -Best Video
Ozone Awards 2007 ~ -Best Lyricist
Ozone Awards 2007 ~ -Best Male Rap Artist
Ozone Awards 2007 ~ -Mixtape Monster Award
Vibe Music Awards 2007 ~ -Best Rapper
BET Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Viewer's Choice Award
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy Attel -People's Choice Award
Lil Wayne Nominations:
Below you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has been nominated for since the start of his career:
Award Song/Mixtape/Album Category
Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Album Of The Year
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 Mr. Carter -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Got Money -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Urban Artists
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Hustler Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Track Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Best Live Performer
American Music Awards 2008 ~ -Artist Of The Year
American Music Awards 2008 Tha Carter III -Favorite Hip-Hop/Rap Album
American Music Awards 2008 ~ -Favorite Male Hip-Hop/Rap Artist
Ozone Awards 2008 Duffle Bag Boy -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 Lollipop -Best Video
Ozone Awards 2008 Lollipop -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 ~ -Mixtape Monster Award
Ozone Awards 2008 ~ Trillest Award
Ozone Awards 2008 ~ Best Rap Group - Birdman
Ozone Awards 2008 ~ TJ's DJ's Hustler Award
Grammy Awards 2008 Make It Rain -Best Rap Performance By A Duo
BET Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Collaboration
Teen Choice Awards 2008 ~ -Choice Rap Artist
BET Awards 2008 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Male Video
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Lyricist of the Year
BET Awards 2007 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
Vibe Music Awards 2007 Da Drought 3 -Best Mixtape Of The Year
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Best Live Performance
Ozone Awards 2007 You -Best Rap/R&B Collaboration
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Best Hip Hop Collabo
Vibe Music Awards 2007 We Takin' Over -Coolest Collabo
MTV Video Music Awards 2006 -Fireman MTV2 Award
Grammy Awards 2006 Soldier -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Video Music Awards 2005 Soldier -Best Group Video
Vibe Music Awards 2005 Soldier -Coolest Callabo
BET Awards 2005 Soldier -Best Collaboration
Source Awards 2000 ~ -Best New Artist
Thursday, 28 May 2009
WIMBO WA LEO

Wimbo: Hello
Artist: Beyonce Knowles
Oh!
Oh oh, oh oh oh oh......
I love to see you
walk into the room
Body shining
lighting up the place
And when you talk,
everybody stops
Cause they know you know
just what to say
And the way that you
protect your friends
Baby, I respect you for that
And when you grow, you
take everyone you love along
I love that you don't fly me away
Don't need to buy a
diamond key to unlock
my heart
You shelter my soul
You're my fire when I'm cold
I want you to know
You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh
I get so excited when
you travel with me
Baby, while I'm on my grind
And never would I
ever let my hustle
Come between me and
my family time
You keep me humble
out of this hype
Cause you know
there's more to life
If I need you, you will be here
You will make the sacrifice
Don't fly me away
Don't need to buy a
diamond key to unlock
my heart
You shelter my soul
You're my fire when I'm cold
Just want you to know
You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh
Gotta feel you and be near you
You're the air that I
breathe to survive
Gotta hold you, wanna show you
That without you my
sun doesn't shine
You don't have to try
so hard for me to
love you
Boy, without you my life
just ain't the same
You don't have to try
so hard for me to
love you
You had me at hello!
You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
You had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh........
Subscribe to:
Posts (Atom)