Thursday, 6 October 2011

KUTANA NA Mwanamuziki wa kizazi kipya "GOLD EYES"



Ni kijana mdogo mwenye umri chini ya miaka 20 lakini ukimsikiliza mashairi yake kamwe hutoamini kwani ni kijana aliyejaariwa utajiri wa verse wengine huita mashairi yaliyosheheni ujumbe wa kutosha na burudani pia. Hadi sasa amesharekodi singo mbili katika Studio Mkakakwanza Production zilizopo Mabibo chini ya usimamizi mahiri kabisa wa producer anayejulikana kwa jina la "Mkaka".
Moja kati ya singo zake zinazofanya vizuri redioni ni pamoja na wimbo unaoujlikana kwa jina la "My Sweet" alofanya na msanii Ephriz palepale studio za mkakakwanza Mabybo.

WIMBO WA LEO


OUTTA MY SYSTEM- BOW WOW

Damn, I mean, I just keep thinkin' about you
I mean, I wanna move on but I can’t move on
It’s like you got some kinda hold on me and, man I don’t know
But I'ma go ahead and talk about it, listen

I'm sittin' lookin' out the window like damn
Tryna fix this situation that's at hand
You're still runnin' through my mind
When I'm knowin' that you shouldn't be
Me all on your mind and I'm knowin' that it couldn't be

'Cause you ain't called and I ain't even appalled
I still got a lotta pain, I ain't dealt wit it all
I been runnin' 'round with other chicks, I'm single and they lovin' it
I'm likin' it but I just want the one that I was in love with

That's not the end of it, I'm tryna let you go
I can't get a grip of it is what I'm tryna let you know
You got a hold or some kinda control of me
I don't know what it is but I gotta get you gone from me

I’m workin' at it and it ain't gettin' no better
Just tryna be like, yeah, forget it, whatever
Instead of starin' out this glass, lookin' at this bad weather
Damn, I gotta pull myself together 'cause

When I’m with somebody, all I think 'bout is you
When I’m all alone, that’s all I wanna do
I miss the smilin' faces in my Sidekick, outta town visits
All the time we spent together
Makes it hard to get you outta my system

And you know what you do to me, do to me
You don’t even understand, damn
And you know what you do to me, do to me
It’s so hard to get you outta my system

I’m too attached, my heart won’t let me fall back
I got it bad, that’s what you can call that
And when I see you in the streets, that’s the worse for me
Used to love the little things you did, that’s what works for me

It’s too major, don’t see you in my pager
Know what you doin', where you at or can I see you later?
The fellas tellin' me, “Just let her go, Bow�
Believe me, I’m tryin', man, I just don’t know how

I be in all the top spots, leavin' with the hot shots
Knowin' they just want me 'cause I’m in the top spot
That’s not poppin' and my brain ain't stoppin'
Thinkin' who she with or where she goin', is she club hoppin'?

I never had this kind of problem in my life
This is my first time dealin' with this kind of fight
It’s every night and every flight and every time you in my sight
Damn, this ain't even right 'cause

When I’m with somebody, all I think 'bout is you
When I’m all alone, that’s all I wanna do
I miss the smilin' faces in my Sidekick, outta town visits
All the time we spent together
Makes it hard to get you outta my system

And you know what you do to me, do to me
You don’t even understand, damn
And you know what you do to me, do to me
It’s so hard to get you outta my system

Is it wrong for me to feel this way?
You been runnin' through my mind all day, can you feel me?
I been tryna get you off my mind
But I can't after all this time, that’s what kills me

Is it wrong for me to feel this way?
You been runnin' through my mind all day, can you feel me?
I been tryna get you off my mind
But I can't after all this time and it kills me

When I’m with somebody, all I think 'bout is you
When I’m all alone, that’s all I wanna do
I miss the smilin' faces in my Sidekick, outta town visits
All the time we spent together
Makes it hard to get you outta my system

And you know what you do to me, do to me
You don’t even understand, damn
And you know what you do to me, do to me
It’s so hard to get you outta my system

I remember everything that me and you talked about
Me and you had our whole life planned out together
And if I could, I would turn back the hands of time
And correct all my mistakes that I ever did

But now I guess I gotta move on, right?
It’s still hard and I still love you to this day
Peace

Sunday, 8 May 2011

BIG BROTHER AMPLIFIED


Big Brother's blaring voice was heard for the first time in the Tails House as he announced that the game had started and they would have to start Nominating each other.

The Housemates will be playing the game from their two different Houses.

The Housemates in the Tail House couldn't stop talking about how excited they were to finally be in a peaceful space.

Speculation is rife in both Houses but none of the Housemates know for sure about the other House or if the other Housemates are still in the game or not.

Monday, 2 May 2011

Osama is Dead!


Osama bin Laden, the leader of al-Qaeda, is dead.

US president Barack Obama said bin Laden, the most-wanted fugitive on the US list, had been killed on Sunday in a US operation in the Pakistani city of Abbottabad, about 61km north of Islamabad.

"Tonight, I can report to the people of the United States and the world, the United States had carried an operation that has killed Osama bin Laden, a terrorist responsible for killing thousands of innocent people," Obama said in a statement.

"Today, at my direction, the United States carried out that operation... they killed Osama bin Laden and took custody of his body.

"The death of bin Laden marks the most significant achievement to date against al-Qaeda.

"We must also reaffirm that United states is not and will never be at war against Islam. Bin Laden was not a Muslim leader, in fact, he slaughtered many Muslims," Obama said.

Four people, including one of bin Laden's sons, were also killed in the operation.

According to New York Times, bin Laden's body was taken to Afghanistan and later buried at sea.

Hours after Obama made the announcement, a top al-Qaeda ideologue promised revenge for bin Laden's death. The commentator, going by the online name Assad al-Jihad2 posted on websites a long eulogy for the al-Qaeda leader and promised to "avenge the killing of the Sheik of Islam".

The Pakistani Taliban also threatened attacks against government leaders, including President Asif Ali Zardari, the Pakistan army and the United States.

"Now Pakistani rulers, President Zardari and the army will be our first targets. America will be our second target," Ehsanullah Ehsan, a spokesman for Tehrik-e-Taliban Pakistan (TTP), or Taliban Movement of Pakistan, told Reuters by telephone from an undisclosed location.

US celebrations


Barack Obama called bin Laden's death the 'most significant achievement' against al-Qaeda [EPA]

But as the news of bin Laden's death spread, crowds gathered outside the White House in Washington DC to celebrate.

Former US president George Bush called his death a "momentous achievement".

"The fight against terror goes on, but tonight America has sent an unmistakable message: No matter how long it takes, justice will be done," Bush said in a statement.

According to Al Jazeeera's Rosalind Jordan in Washington, the operation had been in the making for the last nine or 10 months.

"The fact that it happened inside Pakistan, there have been suggestions that Pakistani intelligence may have been protecting them," she said.

Patty Culhane, another Al Jazeera correspondent, said the US authorities got intelligence last September and were able to track bin Laden down through his couriers. They followed them to his compound which was reported to be worth over a million dollars.

Reporting from Pakistan, Al Jazeera's Kamal Hyder said the development had caught a lot of people by surprise .

"He was considered by many as a hero, but not to the extent that people would come out on the streets. The reaction so far not likely to be strong on the streets, perhaps a protest here or there by the religious parties," he said.

'Symbolic victory'

Qais Azimy, Al Jazeera's correspondent in Kabul, said Afghan officials described bin Laden's killing as a "symbolic victory", since he was no longer directly connected to the group's field operations.

"This organisation (Al Qaeda) is more than Bin Laden, it may be symbolised by Bin Laden, but it definitely is more than Bin Laden"

Mark Kimmit, US military analyst


Mark Kimmit, a US military analyst, said bin Laden's death "was not the end of terrorism, but an end of a chapter."

"Capturing or killing bin Laden has more iconic value. It will have symbolic value, because it has been a number of years since bin Laden has exercised day to day control over operations. We still have an al-Qaeda threat out there and that will be there for a number of years.

"This organisation (al-Qaeda) is more than bin Laden, it may be symbolised by bin Laden, but it definitely is more than bin Laden," he said.

It is, however, a major accomplishment for Obama and his national security team. Obama's predecessor, George Bush, had repeatedly vowed to bring to justice the mastermind of the September 11, 2001, attacks on New York and Washington, but never did before leaving office in early 2009.

He had been the subject of a search since he eluded US soldiers and Afghan militia forces in a large-scale assault on the Tora Bora mountains in 2001. The trail quickly went cold after he disappeared and many intelligence officials believed he had been hiding in Pakistan.

While in hiding, bin Laden had taunted the West and advocated his views in videotapes spirited from his hideaway.

Besides September 11, Washington has also linked bin Laden to a string of attacks - including the 1998 bombings of American embassies in Kenya and Tanzania and the 2000 bombing of the warship USS Cole in Yemen.


Source: Al Jazeera and agencies

Monday, 11 April 2011

Gbagbo's Fate


A macabre welcome greeted new arrivals to Abidjan on Tuesday morning: a dozen corpses lined up on a roadside by a petrol station, bullet wounds to their heads.

The wounds and the neat line-up of the bodies suggested an execution. A soldier in the forces of Alassane Ouattara, now in control of the area, said they were shot by troops loyal to Laurent Gbagbo, as they rushed to meet advancing Ouattara soldiers.

After days of promise, Ouattara's rebels launched their final assault to unseat Gbagbo. A lull in fighting on the motorway leading to the centre of Abidjan, the one-time "Paris of Africa", allowed the air to be filled with birdsong. But the acrid stench of death was apparent.

Further down the road, a burnt-out armoured vehicle from Gbagbo's army straddled the road and the gutter, smoke still wafting from its insides.

A civilian was hiding between two corpses lying in the middle of the road. The bodies were pro-Gbagbo soldiers blown out of a pick-up truck mounted with a machine gun.

Close by, an army tank was in flames, its own light ammunition popping like firecrackers.

It was not clear how the vehicles came unstuck. But earlier, UN and French forces had confirmed they would use their mandate to protect civilians as grounds to take out Gbagbo's heavy weapons.
SOURCE-GUARDIAN UK

Tuesday, 15 September 2009

Big Brother Revolution,Women in the House Now!

Women ar nw in the house for about 4days now.Men in the house waited women for a long bt now women are there in the house.The bad thng is that Big Brother has not yet put them together rendering men in the house unaware of the presence of a number of women to the same house. U knw what??
Keep it Rock guyz!!

Monday, 6 July 2009

BREAKING NEWS!!!

Habari zilizonifikia muda si mrefu zinasema kwamba raisi wa wanafunzi chuo kikuu Tumaini Iringa anafukuzwa chuo kutokana na pingamizi aliloweka baada ya kupanda kwa ada chuoni hapo.Chuo hicho kimeongeza ada kwa njia ya ujanja ujanja ambapo ongezeko hilo linatufanya wanafunzi tuushangae uongozi wa chuo.Baadhi ya mambo ambayo yanamfanya mzima yeyote na tena ambaye yuko timamu abaki mdomo wazi.Kwanza ongezeko limetangazwa wakati wanafunzi tunafanya mitihani,wakijua kwamba hatuna muda wa kuandamana na kufanya mgomo.Pili kufukuzwa kwa rais kunatokea baada ya wanafunzi kufunga chuo na kuondoka.Hii inatia mashaka sana kwa mtu mzima kama mimi.Mliopo Tumaini naomba mnithibitishie ukweli wa jambo hili.Asante kwa muda lakini badae kidogo ntaendelea kuleta habari zaidi kuhusu jambo hili.

Saturday, 27 June 2009

WIMBO WA LEO


Akon(Feat. Michael Jackson)
Wimbo: HOLD MY HAND

This life don't last forever (hold my hand)
So tell me what we're waitin' for (hold my hand)
Better off being together (hold my hand)
Than being miserable alone (hold my hand)

Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright.
Cause when it gets dark and when it gets cold
We can just hold each other till we see the sunlight

So if you just hold my hand
Baby I promise that I'll do all I can
Things will get better if you just hold my hand
Nothing can come in between us if you just hold, hold my, hold my, hold my hand.

The nights are getting darker (hold my hand)
And there's no peace inside (hold my hand)
So why make our lives harder (hold my hand)
By fighting love, tonight.

Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright.
Cause when it gets dark and when it gets cold
We can just hold each other till we see the sunlight

So if you just hold my hand
Baby I promise that I'll do all I can
Things will get better if you just hold my hand
Nothing can come in between us if you just hold my hand

Thursday, 11 June 2009

BAJETI YA TANZANIA 2009/10 YASOMWA LEO BUNGENI

Bajeti ni Tegemezi kwa 30%
Taasisi za kidini kuanza kulipa kodi
Walevi na wavuta sigara wazidi kubanwa
Wizara ya Elimu yapewa kipaumbele
Matumizi ya serikali yazidi kwa 30%
Mapato hayaridhishi
Wafugaji wasahauliwa
Zanzibar yapata 4.5% ya bajeti
Wananchi wajiuliza, Je, Kweli Itawasaidia
Ni Nini maoni ya wananchi na viongozi wengine kuhusu bajeti hii?


Tulisubiri tangu zamani,tangu tukisikia sera za maandalizi ya bajeti ya mwaka huu wa 2009/10 ambapo mambo mengi yalifanywa na serikali ili kuhakikisha kwamba bajeti inakwenda sambamba na matakwa ya Watanzania wote, wengi wao wakiwa masikini.Bajeti hii imesomwa leo ikiwa imeatanguliwa na hotuba ya Rais wa Jamhuri wa Muungano hapo jana alipokuwa akizungumza na wazee wa Dodoma pia watanzania wote katika ukumbi wa Kilimani ambapo jambo kubwa alilozungumza ni kuhusu madhara ya mtikisiko wa uchumi duniani.Kiufupi ni kwamba hotuba hiyo iliwavutia wengi.
Sasa turudi katika suala letu la siku ya leo,suala nyeti ambapo leo mida ya saa kumi jioni tumemshuhudia Waziri wa Uchumi Tanzania Mhe.Mustapha Haidi Mkulo akifungua mkoba na kutusomea bajeti hiyo.Tuache longolongo shuhudia mwenyewe hapo chini angalau muktasari au wazungu wanasema 'summary' ya bajeti hiyo

SEKTA -MIUNDOMBINU Sh.1.1 Bilioni Ikiwa ni ongezeko la 12%
-KILIMO Sh.667.0 Bilioni ongezeko la 30%
-MAJI/UMWAGILIAJI Sh.347.3 Bilioni ongezeko la 50%
-NISHATI/MADINI Sh.285.5 Bilioni pungufu kwa -24.6
-ELIMU Sh.1.74 Trilioni ongezeko la 22%
-AFYA Sh.963.0 Bilioni ongezeko la 5.7%

MAELEZO MENGINEYO
MAPATO YA NDANI NI SH.TRILIONI 5.1
MATUMIZI YA SERIKALI NI SH.9.5 TRILIONI-Ikiwa ni ongezeko la 30%
KUDHIBITI KUYUMBA KWA UCHUMI SH.1.7 TRILIONI
WAHISANI SH.3.8 TRILIONI
BAJETI TEGEMEZI KWA 34%
MENGINEYO 1.2 TRILIONI

MAONI YA WATU MBALIMBALI KUHUSU BAJETI HII
Profesa Ibrahim Lipumba "uwazi unahitajika katika katika ulipaji wa makampuni,tusije kupata EPA ya pili manake bajeti inaweza kupangwa halafu utekelezaji ukawa sifuri". Pia Prof.Lipumba aliongeza kwamba bajeti hii haijamzingatia mtanzania wa kawaida yaani masikini, "masikini hawafaidiki na bajeti hii badala yake mabenki ndo yatakayofaidika na bajeti hii".
Said Kubenea "Ni kweli fedha zimetengwa lakini hatuna uhakika na utekelezaji huko mawizarani,yanweza kuzaliwa 'Marichmondi'mengine huko na yakalipwa fedha hizi".
Ole Sendeka-Mbunge wa Simanjiro "inashangaza kuona kwamba bajeti imekumbuka wakulima tu,wafugaji je? Bajeti hii imewasahau kabisa wafugaji wa kawaida kama wa kule Simanjiro watafaidika nini na bajeti hii? Halafu pia inashangaza kuona hata taasisi za kidini zinatozwa kodi ya VAT,hili limetushitua wengi sana".
John Cheyo-Mbunge wa Bariadi-"suala la madini limefumbiwa macho kabisa,tuliunda tume tukatoa mapendekezo lakini hakuna hata moja lililofanyiwa kazi.Wakubwa katika migodi wameendelea kulindwa na kuogopwa na bajeti hii".
Aidha katika hali ya kushangaza taasisi za dini ambazo zimekuwa zikitoa mchango mkubwa sana katika maendeleo ya nchi eti! nazo zitaanza kutozwa kodi katika baadhi ya huduma 'isipokuwa huduma za kiroho'.Hata hivyo jambo hili limewakera wengi na kushangazwa na kauli hii katika bajeti ya mwaka huu.Wengi hawajalipokea suala hili katika mtazamo chanya na wanasubiri kuona Bunge litachukua hatua gani wakati wa kujadili na kuiptisha bajeti hii wiki ijayo.Ikiwa ni hali nyingine ya kushangaza,waziri Mkulo amesema kwamba msukumo umewekwa zaidi katika kilimo wakati bajeti inaonesha kwamba ni sh.667.0 Bilioni tu zilizoelekezwa katika wizara hiyo.
Haya sasa wewe je,mwananchi wa kawaida una maoni gani kuhusiana na bajeti hii?
Je,kweli unaona itakusaidia?
Tafadhali tupe maoni yako.

Na Frank Joram
Mwandishi wa makala hii
11/06/2009

Friday, 29 May 2009

Lil Wayne ,The Carter

Lil Wayne also known as "Weezy Baby" is one of the most talented, controversial and famous rappers of our time. His incredible lyrics, rhythmic songs and the unique musical versions that he brings to hip-hop and rap lovers are some of the things that characterize him and his awesome work. Much of the controversy which surrounds him is based upon the history that he has chosen to brand his body with, as you'll see below some people completely dislike this style and yet love his music which is directly reflected on the number of sales generated by his most recent album.

Lil Wayne's Tattoos





























Lil Wayne Awards

Here you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has won since the start of his career:

Award Song/Album Category

Grammy Awards 2009 Lollipop -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 A Milli -Best Rap Solo Performance
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Best Rap Album
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Ringtone Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Collabo
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -MVP Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Lyricist Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Tha Carter III -CD Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -People's Champ
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -Track Of The Year
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Artists Choice
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
Ozone Awards 2008 ~ -Best Rap Artist
Ozone Awards 2008 ~ -Best Lyricist
BET Awards 2008 Lollipop -Viewer's Choice Award
Ozone Awards 2007 We Takin' Over -Best Video
Ozone Awards 2007 ~ -Best Lyricist
Ozone Awards 2007 ~ -Best Male Rap Artist
Ozone Awards 2007 ~ -Mixtape Monster Award
Vibe Music Awards 2007 ~ -Best Rapper
BET Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Viewer's Choice Award
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy Attel -People's Choice Award


Lil Wayne Nominations:

Below you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has been nominated for since the start of his career:

Award Song/Mixtape/Album Category

Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Album Of The Year
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 Mr. Carter -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Got Money -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Urban Artists
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Hustler Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Track Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Best Live Performer
American Music Awards 2008 ~ -Artist Of The Year
American Music Awards 2008 Tha Carter III -Favorite Hip-Hop/Rap Album
American Music Awards 2008 ~ -Favorite Male Hip-Hop/Rap Artist
Ozone Awards 2008 Duffle Bag Boy -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 Lollipop -Best Video
Ozone Awards 2008 Lollipop -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 ~ -Mixtape Monster Award
Ozone Awards 2008 ~ Trillest Award
Ozone Awards 2008 ~ Best Rap Group - Birdman
Ozone Awards 2008 ~ TJ's DJ's Hustler Award
Grammy Awards 2008 Make It Rain -Best Rap Performance By A Duo
BET Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Collaboration
Teen Choice Awards 2008 ~ -Choice Rap Artist
BET Awards 2008 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Male Video
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Lyricist of the Year
BET Awards 2007 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
Vibe Music Awards 2007 Da Drought 3 -Best Mixtape Of The Year
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Best Live Performance
Ozone Awards 2007 You -Best Rap/R&B Collaboration
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Best Hip Hop Collabo
Vibe Music Awards 2007 We Takin' Over -Coolest Collabo
MTV Video Music Awards 2006 -Fireman MTV2 Award
Grammy Awards 2006 Soldier -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Video Music Awards 2005 Soldier -Best Group Video
Vibe Music Awards 2005 Soldier -Coolest Callabo
BET Awards 2005 Soldier -Best Collaboration
Source Awards 2000 ~ -Best New Artist

Thursday, 28 May 2009

WIMBO WA LEO


Wimbo: Hello
Artist: Beyonce Knowles

Oh!
Oh oh, oh oh oh oh......
I love to see you
walk into the room
Body shining
lighting up the place
And when you talk,
everybody stops
Cause they know you know
just what to say
And the way that you
protect your friends
Baby, I respect you for that
And when you grow, you
take everyone you love along
I love that you don't fly me away
Don't need to buy a
diamond key to unlock
my heart
You shelter my soul
You're my fire when I'm cold
I want you to know

You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh

I get so excited when
you travel with me
Baby, while I'm on my grind
And never would I
ever let my hustle
Come between me and
my family time
You keep me humble
out of this hype
Cause you know
there's more to life
If I need you, you will be here
You will make the sacrifice
Don't fly me away
Don't need to buy a
diamond key to unlock
my heart
You shelter my soul
You're my fire when I'm cold
Just want you to know

You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh

Gotta feel you and be near you
You're the air that I
breathe to survive
Gotta hold you, wanna show you
That without you my
sun doesn't shine
You don't have to try
so hard for me to
love you
Boy, without you my life
just ain't the same
You don't have to try
so hard for me to
love you
You had me at hello!

You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
You had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh........

Cheka Kidogo

Karibu Tumaini University at Iringa

Library

Vijia vya kuelekea kwenye vyumba vya wasichana

Vijia vya kuelekea kwenye vyumba vya wavulana

Saturday, 16 May 2009

Watazeeka kwa Umbea


Narudi zangu gheto kutoka kitaani nakuta masela zangu Imma na Nick rum wanagonga traki moja hivi ya Q-Chillah inaitwa 'itabidi wazoee'. . Nilipokaa baada ya muda hapo ndani nikashangaa kuona redio inapiga wimbo mmoja tu!! Nikawauliza jamani vipi mbona mmeweka "repeat"? Nick akajibu "mwana we acha tu hili songi la ukweli si kitoto". Na kisha akaniambia kuwa anazimika zaidi na mstari flani hivi kwenye huo wimbo.Mstari wenyewe unasema hivi "watazeeka kwa umbea ya kwetu yanatunyookea".Wimbo huu umetoka si siku nyingi na unaonekana kupendwa na wengi. Nasema hivyo kwa sababu baada ya muda mfupi akaja dada mmoja hivi wa chumba opposite na cha kwetu akasema "naomba muongeze sauti alafu msifunge mlango".Nayeye nilipomuuliza anapenda mstari gani katika wimbo huo akanijibu simpo tu kwamba "ndo ivo yani itabidi wazoee tu".Hongera Q-Chief kwa wimbo wako huu ambao unaonekana kuwashika wengi .Wewe je Mdau, unasemaje kuhusu wimbo huu? Tafadhali tupe maoni yako kwa kubonyeza hapo chini.

Thursday, 14 May 2009

Mwanahalisi Kumlipa Rostam Shilingi Bilioni Tatu!!!!


Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam jana iliamuru
wahariri pamoja na waandishi wa habari kumlipa Bwana
Rostam Aziz,mbunge wa Igunga kiasi cha shilingi
bilioni tatu(3bil.) ikiwa ni fidia kwa chombo hicho
cha habari kumdhalilisha bwana Rostam Azizi kwa
kuchapisha katika gazeti la Mwanahalisi habari isiyo
ya kweli na hivyo kumshushia heshima bwana Rostam Aziz.
Mwanahalisi ilichapisha habari iliyodai kwamba Rostam
Aziz ni fisadi na ni mtu mchafu katika jamii. Jaji
aliyesimamia kesi hiyo na kutoa maamuzi ni Jaji Robert
Makaramba ambaye alisema amefikia maamuzi hayo baada
ya gazeti la mwanahalisi kushindwa kutokea mahakamani kutoa ushahidi katika kutoa utetezi wake.Hata hivyo mwanasheria
wa gazeti la Mwanahalisi,Mtanzania Halisi bwana Marando
amesema kwamba tayari wameanza kuchukua hatua za awali kwa
ajili ya kukata rufaa.

Friday, 8 May 2009

MANJI-"Sina Shida na Pesa za Mtu"


REGINALD MENGI

ROSTAM AZIZ

YUSUPH MANJI


Malumbano baina ya wanasiasa na wafanyabiashara kutokana na madai ya kudhalilishana yanavutia kimtindo ambapo mfanyabiashsra maarufu Yusuph Manji amefungua kesi dhidi ya bwana Mengi akidai kudhalilishwa na vyombo vya habari anavyovimiliki bwana Mengi. Hata hivyo kesi hiyo inaonekana kuvutia sana watu wengi hasa kutokana na madai ya bwana Manji kutaka alipwe shilingi moja tu(sh.1) pesa ya kitanzania."Shida yangu si pesa za mtu,ninachotaka kuona ni sheria inachukua mkondo wake na haki inatendeka".
Aidha wadau mbalimbali pamoja na wafatiliaji wa masuala ya siasa nchini wamedai kuwa hilo ni "DONGO" ama kashfa hasa kwa bwana Mengi ambaye "anajifanya kuwa ana pesa mingi" kufungua kesi zaidi ya kumi za madai ya kudhalilishwa huku akidai alipwe Bilioni moja katika kila kesi moja. Kwa mahesabu ya chapchap kama atawini kesi zote basi ana zaidi ya bilioni kumi.
"Mtu mwenye pesa kama huyu,atadaije pesa nyingi hivyo kutoka kwa waandishi na vyombo vya habari masikini?,Kwa nini asiige mfano wa "mtu mwenye pesa" Yusuph Manji ambaye kamdai Mengi shilingi moja tu?" alisikika mdau mmoja ambaye hakutaka jina lake lionekane katika blogu hii.Haya mpenzi msomaji na wewe una maoni gani kuhusu ishu hii?
Tupe maoni yako hapo chini.

Thursday, 7 May 2009

Maafa yaliyotokana na mlipuko wa Mabomu Mbagala, Dar es Salaam


Wahanga wa mlipuko wa mabomu Mbagala

Baadhi ya wakazi wa Mbagala wakishangaa kipande cha bomu.


Uharibifu uliosababishwa na Mlipuko.

Thursday, 30 April 2009

Jakaya


Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia mhanga katika mlipuko wa mabomu Mbagala Dar es Salaam uliotokea hapo jana.

Mbunge Viti Maalum Ang'aka


Mheshimiwa Halima Mdee acharuka baada ya ripoti ya Bunge ya ukaguzi wa hesabu za serikali kuonesha kwamba kuna mchezo mchafu unaofanywa na viongozi wa serikari za mitaa pamoja na madiwani na mameya wa jiji.Serikali inapotoa fedha kwa ajili ya shughuli za maendeleo,fedha hizo zimekuwa zikitafunwa vibaya mno.Badala ya kutumia fedha vizuri,pesa zimekuwa zikichotwa kwa kiasi kikubwa kisha kiasi kidogo kilichosalia kutumika katika mradi uliokusudiwa.Mheshimiwa alitoa mfano katika Wilaya ya Monduli ambapo Milioni 34 zilitolewa na serikali kwa ajili ya kujenga nyumba ya mwalimu lakini viongozi husika walitafuta mfadhili ambaye aliijenga nyumba hiyo kwa gharama zake mwenyewe.Haijulikani hadi sasa mamilioni hayo yamekwenda wapi.

Katika hali ya kushangaza,Mheshimiwa Mdee alitoa pia mfano wa hasara iliyosababishwa na Meya wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kukataa ushauri wa madiwani na kufanya maamuzi yake binafsi hali iliyoisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 800.

Mchezo huu umekuwa ukifanyika kwa kasi sana ambapo ripoti za utekelezaji zinaonesha kwamba pesa zilizotolewa zimetumika ipasavyo lakini hali ni tofauti pale ambapo miradi tajwa ilitembelewa na wanakamati hao. Mfano ripoti moja ilisema kuwa bati 70 zimetumika kujenga choo lakini kamati ilipodai kuona choo hicho ilikuta ni bati 3 tu zilizotumika kujenga choo.Wizi Mtupu!!! Mchezo huu umekuwa maarufu sana hapa kwetu Bongo,serikali kuweni makini na mchezo huu.

Monday, 27 April 2009

Wimbo wa Leo

Artist: Brandy
Song: Long Distance


There`s only so many songs that i can sing to pass the time.
And i`m running out of things to do to get you off my mind (oh whoa).
All i have is this picture in a frame (oh ah),
That i hold close to see your face everyday.
With you is where i`d rather be,
But we`re stuck where we are.
It`s so hard, you`re so far..
This long distance is killing me.
I wish that you are here with me,
But we`re stuck where we are
It`s so hard, you`re so far.. (so hard, you`re so far..)
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far.
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far
(so hard, so hard, where we are, where we are, your so far).
This long distance is killing me.
Now the minutes feel like hours
And the hours feel like days.. (whoa oh whoa)
While i`m away (way-ay)
You know right now i can`t be home (ah)
But i`m coming home soon (ah)
Coming home soon.. (ah a hah)
All i have is this picture in a frame (ah),
That i hold close to see your face everyday.
With you is where i`d rather be (where i`d rather be..),
But we`re stuck where we are (oh oh).
It`s so hard, (oh ah) you`re so far.. (oh ah)
This long distance is killing me.
I wish that you are here with me (you are here with me),
But we`re stuck where we are (oh oh)
It`s so hard, (oh ah) you`re so far.. (oh ah)
Can you hear me crying?
Ooh (oh-oh oh-oh)
Can you hear me crying? (oh-oh ah!)
Ooh (oh-oh oh-oh)
Can you hear me crying? (oh-oh ah!)
Ooh (oh-oh oh-oh)
Ooh woo whoa ah ah oh ah (oh-oh ah!)
Uh ah uh ah whoa0h ah (oh-oh oh-oh)
With you is where i`d rather be (where i`d rather be..) whoa!
(but we`re stuck where we are) oh!
(it`s so hard) so hard (your so far), so far
(this long distance is killing me) this long distance is killing me
I wish that you are here with me (you are here with me) me..
(but we`re stuck where we are) stuck where we are! so hard! so far
This long distance is killing me
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far.
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far
(so hard, so hard, where we are, where we are, your so far).
This long distance is killing me.
There`s only so many songs that i can sing to pass the time.