Thursday 30 April 2009

Jakaya


Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia mhanga katika mlipuko wa mabomu Mbagala Dar es Salaam uliotokea hapo jana.

Mbunge Viti Maalum Ang'aka


Mheshimiwa Halima Mdee acharuka baada ya ripoti ya Bunge ya ukaguzi wa hesabu za serikali kuonesha kwamba kuna mchezo mchafu unaofanywa na viongozi wa serikari za mitaa pamoja na madiwani na mameya wa jiji.Serikali inapotoa fedha kwa ajili ya shughuli za maendeleo,fedha hizo zimekuwa zikitafunwa vibaya mno.Badala ya kutumia fedha vizuri,pesa zimekuwa zikichotwa kwa kiasi kikubwa kisha kiasi kidogo kilichosalia kutumika katika mradi uliokusudiwa.Mheshimiwa alitoa mfano katika Wilaya ya Monduli ambapo Milioni 34 zilitolewa na serikali kwa ajili ya kujenga nyumba ya mwalimu lakini viongozi husika walitafuta mfadhili ambaye aliijenga nyumba hiyo kwa gharama zake mwenyewe.Haijulikani hadi sasa mamilioni hayo yamekwenda wapi.

Katika hali ya kushangaza,Mheshimiwa Mdee alitoa pia mfano wa hasara iliyosababishwa na Meya wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kukataa ushauri wa madiwani na kufanya maamuzi yake binafsi hali iliyoisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 800.

Mchezo huu umekuwa ukifanyika kwa kasi sana ambapo ripoti za utekelezaji zinaonesha kwamba pesa zilizotolewa zimetumika ipasavyo lakini hali ni tofauti pale ambapo miradi tajwa ilitembelewa na wanakamati hao. Mfano ripoti moja ilisema kuwa bati 70 zimetumika kujenga choo lakini kamati ilipodai kuona choo hicho ilikuta ni bati 3 tu zilizotumika kujenga choo.Wizi Mtupu!!! Mchezo huu umekuwa maarufu sana hapa kwetu Bongo,serikali kuweni makini na mchezo huu.

Monday 27 April 2009

Wimbo wa Leo

Artist: Brandy
Song: Long Distance


There`s only so many songs that i can sing to pass the time.
And i`m running out of things to do to get you off my mind (oh whoa).
All i have is this picture in a frame (oh ah),
That i hold close to see your face everyday.
With you is where i`d rather be,
But we`re stuck where we are.
It`s so hard, you`re so far..
This long distance is killing me.
I wish that you are here with me,
But we`re stuck where we are
It`s so hard, you`re so far.. (so hard, you`re so far..)
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far.
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far
(so hard, so hard, where we are, where we are, your so far).
This long distance is killing me.
Now the minutes feel like hours
And the hours feel like days.. (whoa oh whoa)
While i`m away (way-ay)
You know right now i can`t be home (ah)
But i`m coming home soon (ah)
Coming home soon.. (ah a hah)
All i have is this picture in a frame (ah),
That i hold close to see your face everyday.
With you is where i`d rather be (where i`d rather be..),
But we`re stuck where we are (oh oh).
It`s so hard, (oh ah) you`re so far.. (oh ah)
This long distance is killing me.
I wish that you are here with me (you are here with me),
But we`re stuck where we are (oh oh)
It`s so hard, (oh ah) you`re so far.. (oh ah)
Can you hear me crying?
Ooh (oh-oh oh-oh)
Can you hear me crying? (oh-oh ah!)
Ooh (oh-oh oh-oh)
Can you hear me crying? (oh-oh ah!)
Ooh (oh-oh oh-oh)
Ooh woo whoa ah ah oh ah (oh-oh ah!)
Uh ah uh ah whoa0h ah (oh-oh oh-oh)
With you is where i`d rather be (where i`d rather be..) whoa!
(but we`re stuck where we are) oh!
(it`s so hard) so hard (your so far), so far
(this long distance is killing me) this long distance is killing me
I wish that you are here with me (you are here with me) me..
(but we`re stuck where we are) stuck where we are! so hard! so far
This long distance is killing me
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far.
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far
(so hard, so hard, where we are, where we are, your so far).
This long distance is killing me.
There`s only so many songs that i can sing to pass the time.

Vimwana katika mapozi

Mrembo Santabanta

Hali Ilivyo Huko Congo DRC

Mlimbende from India-Sayali Bhagat

LANGA

Friday 24 April 2009

Msanii wa Leo-Brandy

Artist : Brandy
Song: Piano Man




Mr. piano man
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Do you have a request book handy, i can flip through
I do, he said my name is rodney, good to meet you
What do you wanna hear tonight he asked me
He says that i can feel inside
I've got what you need know exactly, why don't we give this a try

[chorus:]

Play me a song about heartache, i promise i can sing every word
Play me a song about love lost, that's another one everyone's heard
Strike up the band
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)

He played a song filled with sadness, i believed him
Even though, we're strippin with madness, i could see it
We were lost in the music, everyone knew it
Truth was in the air tonight i could see all the faces, they thought the same
Won't you please......
Play me a song about heartache, i promise i can sing every word
Play me a song about love lost, that's another one everyone's heard
Strike up the band
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)

[bridge:]

He was going for hours, people crying showers
No one ever really telled how it is
I sang about hopeless cause everyone knows it, knows it
And it was so honest
Finally breathing some clean air, been through it and seen there
I put my star to fame
Now the spotlight was faiding, he just kept on playing
Play me a song about heartache, i promise i can sing every word
Play me a song about love lost, that's another one everyone's heard
Strike up the band
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)

Cheki Model

Bonge la Toto



Kaka unasemaje hapo?

Mheshimiwa Mizengo Katika Harakati za Ujenzi wa Tanzania

Mgeni Tz

Thursday 23 April 2009

Pita Mtaani kwetu Uone


Huku mtaani kwetu sufuria za ukoko hazilowekwi
kwenye maji badala yake kuna idara maalum ya
kufanya usafi.Haya yanawapata watanzania hawa
tena watoto ilhali nchi yao imejaa madini,maziwa,
bahari,mito mikubwa,mbuga za wanyama na ardhi ya
kutosha kwa kilimo.Je,watafika kweli??

Masela Tumaini


washkaji wakipata picha kabla ya kuingia
kwenye presentation ya B.A Law

Sokoni


Mitaa ya Iringa sokoni,hali ya hewa miezi kama hii inavutia watalii kutembelea mji wa Iringa na pia sehemu kama hizi ili kununua mahitaji mbalimbali.

cHEKa KiDoGO

Toto Tundu

Wednesday 22 April 2009

Baadhi ya Walimbwende wa kibongo

Jokate

Irene Uwoya

LADY JD


















MJENGO WA JD




Nancy,Mwana F/A na Nakaaya

Maunda Zoro

Blu

Chid Benz na TID wazichapa laivu


Habari toka chanzo chetu zilidai kuwa, tukio hilo la aibu
lilitokea wiki iliyopita (Alhamisi usiku), ndani ya Club
Billicanas Posta, jijini Dar es Salaam, ambapo kulikuwa
na usiku wa kinadada ambao huruhusiwa kuingia bure huku
wanaume wakilipa kiasi kidogo taofauti na siku zingine.

Ilidaiwa kuwa, awali Chid akiwa na rafiki zake wawili
alitinga ukumbini hapo na kwenda kupozi karibu na DJ a
liyekuwa akisababisha vilivyo huku wakiwa na ‘monde’ (kinywaji)
mkononi.

Chanzo kilisema kuwa, haukupita muda mrefu ‘Top In Dar’
naye alitinga ukumbini humo akiwa na kundi lake wakiwa
‘fulu kinywaji’, ambapo moja kwa moja walikwenda kunakouzwa
‘moja baridi, moja moto’ (kaunta) na kuketi.

Huku akizungukwa na warembo waliokuwa wakimtaka akacheze
nao muziki, TID alishutushwa na kundi lililoongozwa na Chid,
lililovamia warembo wale, kisha kumtishia kumshushia kichapo
mkali huyo maarufu kama sauti ya gerezani.
Chanzo kiliendelea kusema kuwa, TID hakuwa tayari kukutwa na
fedheha hiyo mbele ya ‘totozi’ hivyo alilazika kuonesha maujuzi
ya kurusha ngumu aliyolambishwa toka gerezani.

Ilisemekana kwamba, Chid kama kiongozi wa kundi lake, naye
alijikuta akionesha ubabe wa ‘kitaa’ pale alipomrukia TID na
kujikuta wakizichapa kavukavu.

Baada ya vurugu hilo ambalo lilikuwa ni soo tupu, mabaunsa wa
ndani ya kiwanja hicho walilazimika kuingilia kati kuamulia ngumi
hizo zilizokuwa zikirushwa na mastaa hao kama mvua ya mawe.
Katika timbwili hilo, TID alisikika akidai kuwa, haogopi jela, hivyo
alitaka kumuonesha Chid ‘mbivu na mbichi’ siku hiyo hadi aite maji ‘mma’.

Hata hivyo, kiongozi wa mabaunsa hao (jina tunalo) aliamuru TID
na Chid watolewe nje ya ukumbi huo, kisha kufungiwa kabisa kutinga
katika kiwanja hicho cha maraha.

Jiji la Kandoro

Lil Weezy- "The Most featured Mc in Us"


Lil Wayne amekuja juu sana katika gemu la Hip Hop kiasi kwamba kila msanii huko Marekani anamshirikisha katika nyimbo zake.Grammy Music Awards imethibitisha kwamba bwana mdogo Weezy yuko siriaz na kazi.

Blomquist Hall


Hapa hapa Tumaini University
at Iringa.

Visit Tumaini University


Jitahidi utembelee mandhari ya kuvutia
katika chuo kikuu cha Tumaini mkoani Iringa.
Hali ya hewa katika kipindi hiki inavutia si
mchezo,unaweza usirudi kwenu.

Choo chetu kitaani


Lazima uwe na stamina ili
kukitumia choo chetu
cha huku uswazi,si mchezo.

Monday 20 April 2009

Wimbo wa Leo-"Heartless" by Kanye West


















In the night i hear them talk,
The coldest story ever told,
Somewhere far along this road
He lost his soul,
To a woman so heartless
How could you be so heartless?
How could you be so
Cold as the winter wind when it breeze yo
Just remember that you talking to me yo
You need to watch the way you talking to me yo
I mean after all the things that we been through
I mean after all the things we got into
And yo i know some things you things that you aint told me
Ayo i did some things but thats the old me
And now you wanna pay me back
You gon' show me
So you walk round like you don't me
You got them new friends
Well i got homeys
But at the end its still so lonely
In the night i hear them talk,
The coldest story ever told,
Somewhere far along this road
He lost his soul,
To a woman so heartless
[heartless lyrics on http://www.kovideo.net/ ]
In the night i hear them talk,
The coldest story ever told,
Somewhere far along this road
He lost his soul,
To a woman so heartless

Saturday 18 April 2009

Warembo wetu wanavyowakilisha


Miss Utalii Tanzania(kushoto)
akiwa na Miss utalii Rwanda

Friday 17 April 2009

This Guy is available at Mikumi


Huyu kijana anapatikana katika
mbuga ya wanyama Mikumi-Moro

Obama-Wakati akiwa bado kinda

Wednesday 15 April 2009

Bosi wangu Haruna


Ni mtu mkubwa sana huyu,usimchukulie poa.

Tuesday 14 April 2009

Monday 13 April 2009

Zanzibar Beach


Mandhari na beach nzuri ajabu
huko Zenji,mnakaribishwa sana
kutembelea huku.

Mandhari ya Zanzibar

Thursday 9 April 2009

Waziri Mwingine Ajiuzuru Kenya


Ni Naibu Waziri wa Matibabu nchini Kenya Danson Mungatana.
Amejiuzulu wadhfa wake huo, akiushutumu utawala wa rais Mwai Kibaki
kwa kuyumbisha mwelekeo wa nchi hiyo.hapo juzi pia waziri wa Katiba
na Sheria nchini humo aling'atuka.

Wimbo wa leo "Rehab"-Rihanna ft Timberlake

Baby baby
When we first met I never felt something so strong
You were like my lover and my best friend
All wrapped in one with a ribbon on it
And all of a sudden you went and left
I didn't know how to follow
It's like a shock that spun me around
And now my heart's dead
I feel so empty and hollow
And I'll never give myself to another the way I gave it to you
You don't even recognize the ways you hurt me, do you?
It's gonna take a miracle to bring me back
And you're the one to blame
And now I feel like....oh!
You're the reason why I'm thinking
I don't wanna smoke on these cigarettes no more
I guess that's what I get for wishful thinking
Should've never let you enter my door
Next time you wanna go on and leave
I should just let you go on and do it
'Cause now I'm using like I bleed
It's like I checked into rehab
And baby, you're my disease
It's like I checked into rehab
And baby, you're my disease
I gotta check into rehab
'Cause baby you're my disease
I gotta check into rehab
'Cause baby you're my disease
Damn, ain't it crazy when you're love swept (?)
You'd do anything for the one you love
'Cause anytime that you needed me I'd be there
It's like you were my favorite drug
The only problem is that you was using me
In a different way than I was using you
But now that I know it's not meant to be
I gotta go, I gotta wean myself off of you
And I'll never give myself to another the way I gave it to you
You don't even recognize the ways you hurt me, do you?
It's gonna take a miracle to bring me back
And you're the one to blame
'Cause now I feel like....oh!
You're the reason why I'm thinkingI don't wanna smoke on these cigarettes no more
I guess that's what I get for wishful thinking
Should've never let you enter my door
Next time you wanna go on and leave
I should just let you go on and do it
'Cause now I'm using like I bleed
It's like I checked into rehab
And baby, you're my disease
It's like I checked into rehab
And baby, you're my disease
I gotta check into rehab
'Cause baby you're my disease
I gotta check into rehab
'Cause baby you're my disease
Now ladies gimme that...
Oh, oh, oh, oh, ohohoh, oh, oh, ohh
Now gimme that...
Oh, oh, oh, oh, ohohoh, oh, oh, ohh
My ladies gimme that...
Oh, oh, oh, oh, ohohoh, oh, oh, ohh
Now gimme that...
Oh, oh, oh, oh, ohohoh, oh, oh, ohh
Oh! You're the reason why I'm thinking
I don't wanna smoke on these cigarettes no more
I guess that's what I get for wishful thinking
Should've never let you enter my door
Next time you wanna go on and leave
I should just let you go on and do it
'Cause now I'm using like I bleed
It's like I checked into rehab
And baby, you're my disease
It's like I checked into rehab
And baby, you're my disease
I gotta check into rehab
'Cause baby you're my disease
I gotta check into rehab
'Cause baby you're my disease

Karibu Mikumi

Simba Dume

Swala pia wapo

Wednesday 8 April 2009

Karume Day


Jana Watanzania wote waliadhimisha kifo cha aliyekuwa
rais wa kwanza wa Zanzibar pia mwanamapinduzi visiwani
humo hayati Abeid Amani Karume aliyeuawa na wakoloni mnamo 1972.
Maadhimisho hayo yalifanyika katika ofisi za CCM huko Zanzibar
ambako ndipo alipozikwa.

Jacob Zuma Afutiwa Mashitaka ya rushwa na udanganyifu yaliyokuwa yanamkabili

Ngurdoto Mountain Lodge-"The Paradise"

Je,umewahi kutembelea Ngurdoto Mountain Lodge?

Mtoto 2ma mitaa ya Tumaini University

Waziri Martha Karua